MATUKIO YA SOKA WEEKEND KATIKA PICHA
![]() |
Carzola,Welbeck na Giroud wakishangilia goli alilofunga Welbeck dhidi ya West Brom |
![]() |
Robin Van Perse akishangilia goli alilofunga dhidi ya Hull City |
![]() |
Aguero akijaribu kumfunga kipa wa Soton |
![]() |
Miralas akishangilia goli dhidi ya Spurs |
![]() |
Diego Costa akimlalamikia mwamuzi katika pambano la Chelsea na Sunderland |
![]() |
Charlie Austin akishangilia bao QPR ikiishinda Leicester City 3-2 |
![]() |
Glen Johson akipongezwa na wenzake baada ya kuifungia Liverpool |
![]() |
Mpira ukimshinda kipa wa Palace na kuiandikia Swansea goli mfungaji ni Wilfried Bony |
![]() |
West Ham wakishangilia bao |
![]() |
Penati iliyowazamisha Aston Villa |
![]() |
Benzema akipongezwa kwa kufunga bao la kwanza dhidi ya Malaga |
![]() |
Wachezaji wa Sunderland wakipasha kabla ya pambano lao dhidi ya Chelsea wakiwa wamevalia fulana zenye tangazo linaloitangaza Tanzania "Tembelea Tanzania" |
No comments