IPO SIKU NITAIFUNDISHA MAN UNITED - GUADIOLA


Kocha wa Bayern Munich Pep Guadiola ametanabaisha kuwa ipo siku  ataifundisha klabu ya Manchester United.



Guadiola ambaye ni msimu wake wa pili hivi sasa akiwa na Bayern Munich anasema alikataa ofa ya kuifundisha Chelsea pale alipofatwa na tajiri wa klabu hiyo Roman Abromovich. Timu nyingine iliyomfata kutaka kuifundisha ni Manchester City kabla haijamsainisha Manuel Pelegrin

Akaendelea kusema anafikiria siku moja atakuja kuifundisha Manchester United na kitu kikubwa kinachomvutia ni historia ya klabu na ukubwa wa klabu yenyewe.

No comments

Powered by Blogger.