CARICK ARUDI UWANJANI, WAANZIA BENCHI NA FALCAO


Kiungo wa Manchester United  Michael Carick  Leo atarudi dimbani usiku huu wakati timu yake itakapopambana na Wes Brom katika pambano la ligi kuu England.

Baada ya kuwa nje ya uwanja wa miezi 6 leo Carick atarudi japo ataanzia benchi katika pambano ambalo Radamel Falcao pia ataanzia benchi.



VIKOSI

WES BROM

 Myhill, Wisdom, Lescott, Dawson, Pocognoli, Gardner, Brunt, Morrison, Dorrans, Sessegnon, Berahino.

Subs: 

Daniels, Gamboa, McAuley, Mulumbu, Blanco, Ideye, Anichebe.

MAN UNITED:

 De Gea, Rafael, Jones, Rojo, Shaw, Blind, Herrera, Januzaj, Mata, Di Maria, van Persie.

Subs: 

Lindegaard, Smalling, Carrick, Fellaini, Fletcher, Young, Falcao

No comments

Powered by Blogger.