ARGENTINA ISIPOSHINDA KOMBE LA DUNIA MWAKA HUU NASTAAFU ~ MESSI

Lionel Messi is determined to win the World Cup with Argentina in Russia this summer
Nahodha wa Argentina na mshambuliaji wa barcelona Lionel Messi ametanabahisha kwamba kama Argentina Isiposhinda kombe la dunia basi atastaafu kuichezea Argentina 

huyo wa mabao katika ligi kuu ya Spain hajashinda ubingwa wowote katika ngazi ya nchi akiukosa ubingwa wa Dunia katika fainali iliyopita wakati Ujerumani walipoibuka na ushindi wa bao 1-0 katika mchezo wa fainali nchini Brazil.

Messi mwenye miaka 30 hivi sasa amesema ana ndoto ya kushinda ubingwa katika fainali zijazo huko Russia ambapo wamepangwa kundi D pamoja na Iceland,Nigeria na Croatia.

No comments

Powered by Blogger.