HAYA HAPA MATOKEO YOTE LIGI KUU BONGO LEO
Michezo mitano ya ligi kuu vodacom Tanzania bara imepigwa Leo nchini katika viwanja tofauti
Michezo yote ya Leo imeisha kwa sare kasoro michezo mmoja tu wa wa wanalamba lamba Azam ndio wameibuka na ushindi mwembamba dhidi ya maafande wa Ruvu Shooting na kujieka kileleni mwa ligi kuu kwa pointi 19
Tumekuekea hapa matokeo yote ya mechi zilizochezwa leo
Singida United 0-0 Yanga
Kagera Sugar 1-1 Tanzania Prisons
Njombe Mji 0-0 Mbao FC
Ndanda FC 0-0 Mtibwa Sugar
Azam Fc 1-0 Ruvu Shooting
Michezo yote ya Leo imeisha kwa sare kasoro michezo mmoja tu wa wa wanalamba lamba Azam ndio wameibuka na ushindi mwembamba dhidi ya maafande wa Ruvu Shooting na kujieka kileleni mwa ligi kuu kwa pointi 19
Tumekuekea hapa matokeo yote ya mechi zilizochezwa leo
Singida United 0-0 Yanga
Kagera Sugar 1-1 Tanzania Prisons
Njombe Mji 0-0 Mbao FC
Ndanda FC 0-0 Mtibwa Sugar
Azam Fc 1-0 Ruvu Shooting
No comments