NCHI TATU ZAGOMBEA UENYEJI CHAN

Morocco ilithibitisha
ombi lao siku ya Jumamosi, nao Caf wakatangaza jana Jumapili kuwa pia kulikuwa
na maombi kutoka nchini Ethiopia na pia Equitorial Guinea, ambao waliandaa
mechi za taifa bingwa barani Afrika mwaka 2015.
Caf wanatafuta
mwenyeji mpya kuchukua nafasi ya Kenya ambayo ilipoteza fursa hiyo baada ya
kushindwa kutimiza matakwa ya shirikisho la Caf
No comments