Tayari tumekipata kikosi cha kwanza cha Taifa Stars ambacho jioni ya keo kitacheza mchezo wa kujipima ubavu dhidi ya wenyeji Zimbabwe huko Harare.
Mchezo unatarajiwa kuanza majira ya saa 10:00 jioni kwa saa za hapa Tanzania wakati huko Zimbabwe ni saa 9:00 Alasiri.
No comments