HII HAPA RATIBA YA MECHI ZA SOKA BARANI ULAYA LEO

Baada ya kushuhudia mechi kadhaa zikichezwa jana Usiku,Leo pia kuna mechi nyingi kubwa na za kuvutia zitachezwa barani Ulaya.


Wapenda Soka wengi watakuwa wakiangazia pambano kati ya Barcelona na Atletico Madrid katika dimba la Nou Camp lakini wengi pia watasubiri kuona kama Jose Mourinho ataweza kupata ushindi baada ya kupoteza mechi 3 mfululizo.

Hii hapa Ratiba kamili kwa muda wa hapa nyumbani

ENGLAND - EFL Cup

9:45 PM - Fulham vs Bristol City
9:45 PM - Northampton Town vs Manchester United
9:45 PM - Queens Park Rangers vs Sunderland
9:45 PM - Southampton vs Crystal Palace
9:45 PM - Swansea City vs Manchester City
9:45 PM - West Ham United vs Accrington Stanley
10:00 PM - Stoke City vs Hull City
10:00 PM - Tottenham Hotspur vs Gillingham

SPAIN - Spanish Primera División
9:00 PM - Celta Vigo vs Sporting Gijón
9:00 PM - Real Madrid vs Villarreal
*11:00 PM - Barcelona vs Atletico Madrid*
11:00 PM - Granada vs Athletic Bilbao
11:00 PM - Real Sociedad vs Las Palmas

UJERUMANI - German Bundesliga
9:00 PM - Bayer Leverkusen vs FC Augsburg
9:00 PM - Bayern Munich vs Hertha Berlin
9:00 PM - RB Leipzig vs Borussia Monchengladbach
9:00 PM - Schalke 04 vs FC Cologne
9:00 PM - Werder Bremen vs Mainz

ITALIA - ISerie A
7:30 PM - Bologna vs Sampdoria
9:45 PM - AS Roma vs Crotone
9:45 PM - Atalanta vs Palermo
9:45 PM - Chievo Verona vs Sassuolo
9:45 PM - Empoli vs Internazionale
9:45 PM - Genoa vs Napoli
9:45 PM - Juventus vs Cagliari
9:45 PM - Udinese vs Fiorentina
9:45 PM - US Pescara vs Torino

UFARANSA - French Ligue 1
8:00 PM - Angers vs Caen
8:00 PM - Bastia vs AS Nancy Lorraine
8:00 PM - Guingamp vs Lorient
8:00 PM - Lyon vs Montpellier
8:00 PM - Metz vs Bordeaux
8:00 PM - Nantes vs St Etienne
8:00 PM - Nice vs AS Monaco
10:00 PM - Stade Rennes vs Marseille


No comments

Powered by Blogger.