WACHEZAJI HAWA NDIYO WAMEFUNGA MAGOLI MENGI KATIKA UWANJA MMOJA ENGLAND
Baada ya kufunga bao moja jana Wayne Rooney amefikisha mabao 100 aliyofunga katika ligi kuu ya England katika dimba la Old Trafford pekee.
Mchezaji ambaye rekodi yake hajafungwa mpaka sasa ni aliyekua nahodha wa Arsenal Thierry Henry ambaye alifunga mabao 114 katika dimba la zamani la Arsenal Highbury.
Tumekuwekea hapa orodha kamili ya wachezaji ambao wamefunga mabao mengine zaidi katika uwanja mmoja
Mchezaji ambaye rekodi yake hajafungwa mpaka sasa ni aliyekua nahodha wa Arsenal Thierry Henry ambaye alifunga mabao 114 katika dimba la zamani la Arsenal Highbury.
Tumekuwekea hapa orodha kamili ya wachezaji ambao wamefunga mabao mengine zaidi katika uwanja mmoja
- Thierry Henry - Highbury 114
- Wayne Rooney - Old Trafford 100
- Alan Shearer - St James' Park 97
- Robbie Fowler - Anfield 85
- Alan Shearer - Ewood Park 83
- Frank Lampard - Stamford Bridge 79
No comments