MAN UNITED NA STOKE, ARSENAL WANYEJI WA WATAKATIFU, LIVERPOOL MDOMONI MWA LEICESTER
Ligi kuu nchini England inaendelea usiku wa leo kwa mechi 8 kupigwa katika viwanja tofauti nchini humo.
Vinara wa ligi hiyo Leicester City wao watakuwa Nyumbani kuwakabili Liverpool chini ya kocha Juggen Klopp katika dimba la King Power
Ni msimu ambao hakuna aliyetabiri Leicester kuwa juu wakati huu tunaingia mwezi February ikiwa na pointi 47 wakati Liverpool wao wana pointi 34 katika nafasi ya saba.
Jijini Manchester wenyeji Manchester United chini ya kocha Louis van Gaal watakua wakiwakaribisha Stoke City inayotolewa na mshambuliaji wa zamani wa Manchester United Mark Hughes.
United itaingia katika mchezo wa leo ikiwa na pointi 37 katika nafasi ya Tano ikiwa imepoteza mchezo uliopita dhidi ya Southampton katika ligi wakati Stoke wao wanakamata nafasi ya 9 wakiwa na pointi 33 huku mchezo uliopita wakipoteza dhidi ya Leicester katika ligi kuu.
Arsenal wanaoshika nafasi ya 3 wakiwa na pointi 44 watakua nyumbani kuwakaribisha Southampton ambao hujulikana pia kama Watakatifu wanaokamata nafasi ya 8.
RATIBA KAMILI YA MECHI ZA LEO EPL
Vinara wa ligi hiyo Leicester City wao watakuwa Nyumbani kuwakabili Liverpool chini ya kocha Juggen Klopp katika dimba la King Power
Ni msimu ambao hakuna aliyetabiri Leicester kuwa juu wakati huu tunaingia mwezi February ikiwa na pointi 47 wakati Liverpool wao wana pointi 34 katika nafasi ya saba.
Jijini Manchester wenyeji Manchester United chini ya kocha Louis van Gaal watakua wakiwakaribisha Stoke City inayotolewa na mshambuliaji wa zamani wa Manchester United Mark Hughes.
United itaingia katika mchezo wa leo ikiwa na pointi 37 katika nafasi ya Tano ikiwa imepoteza mchezo uliopita dhidi ya Southampton katika ligi wakati Stoke wao wanakamata nafasi ya 9 wakiwa na pointi 33 huku mchezo uliopita wakipoteza dhidi ya Leicester katika ligi kuu.
Arsenal wanaoshika nafasi ya 3 wakiwa na pointi 44 watakua nyumbani kuwakaribisha Southampton ambao hujulikana pia kama Watakatifu wanaokamata nafasi ya 8.
RATIBA KAMILI YA MECHI ZA LEO EPL
No comments