KOMBE LA FA: SIMBA VS BURKINAFASO UWANJANI LEO
Mzunguko wa tatu wa michuano wa Kombe la Shirikisho (Azam Sports
Federation Cup) unatarajiwa kuendelea wikiendi hii kwa michezo kadhaa kuchezwa katika viwanja mbalimbali nchini na michezo mitatu inatarajiwa kuchezwa siku ya leo

mjini Morogoro Burkinfaso FC watawakaribisha Simba SC katika uwanja wa Jamhuri mjini humo, Pamba FC watawakaribisha Toto Africans uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza, huku Ndanda FC wakichea dhidi ya Mshikamano FC katika uwanja wa Nagwanda Sijaona Mtwara.

mjini Morogoro Burkinfaso FC watawakaribisha Simba SC katika uwanja wa Jamhuri mjini humo, Pamba FC watawakaribisha Toto Africans uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza, huku Ndanda FC wakichea dhidi ya Mshikamano FC katika uwanja wa Nagwanda Sijaona Mtwara.
No comments