WACHEZAJI HAWA NDIYO WALIOPEWA JUKUMU LA KUHAKIKISHA MAN UNITED INASHINDA UJERUMANI


Manchester United tayari iko nchini Ujerumani kwaajili ya pambano la mwisho la Ligi ya Mabingwa Ulaya kundi B dhidi ya wenyeji Wolsfburg



United ambayo itahitaji ushindi katika mechi hiyo ili kujihakikishia nafasi ya kusonga mbele imesafiri na wachezaji wengi chipukizi kutokana na kuandamwa na majeruhi lukuki kikosini.



Kikosi kilichosafiri leo ni

Makipa
David De Gea,
Sergio Romero;

Walinzi
Paddy McNair,
Chris Smalling,
Guillermo Varela,
Cameron Borthwick-Jackson, Daley Blind,
Matteo Darmian;

Viungo
 Bastian Schweinsteiger,
 Michael Carrick,
 Sean Goss,
 Nick Powell,
Ashley Young,
 Jesse Lingard,
 Andreas Pereira,
Juan Mata;

Washambuliaji
 Memphis Depay,
 Marouane Fellaini,
Anthony Martial

No comments

Powered by Blogger.