BAYERN MUNICH WAKABIDHIWA UBINGWA KWA USHINDI


Mabingwa wa Ujerumani FC Bayern Munich wamekabidhiwa ubingwa wao wa 25 wa Bundesliga kwa ushindi wa bao 2-0 walioupata dhidi ya Mainz 05 bao 2-0.

Magoli mawili ya Roberto Lewandowski na Bastan Schweinsteiger yalitosha kuwapa raha mashabiki wa Bayern Munich timu ambayo imefikisha pointi 79 baada ya kushinda mechi 25.



Mashabiki wa Bayern wakibeba mabango yenye namba 25 kusherekea ubingwa wa 25

Pep Guadiola akimwagiwa bia kama ishara ya kusherekea ubingwa

No comments

Powered by Blogger.