LIGI YA MABINGWA ULAYA - MAGOLI 40 USIKU WA JANA SI MCHEZO



Jumla ya magoli 40 yalifungwa katika ligi ya mabingwa Ulaya usiku wa Jumanne wastani wa goli 5 kila mechi ikiwa ni idadi kubwa ya magoli kufungwa katika usiku mmoja.

Mabingwa wa England Manchester City wao waliendelea kuandamwa na zimwivla kutofanya vizuri katika michuano hiyo licha ya kua na kikosi kilichosheheni nyota kadhaa wao wakisafiri mpaka Russia walijikuta wakilazimishwa sare ya bao 2-2 na CSKA Moscow licha ya kutangulia kufunga bao 2-0 mpaka mapumziko.



Bayern Munich wakisafiri mpaka mji kuu wa Italia Roma waliiangamiza AS Roma mabao 7-1 ushindi ulioshangaza wengi kwani Roma walionekana kama timu ya kuogopwa safari hii lakini wakashindwa kabisa kufurukuta kwa Bayern Munich.

MATOKEO NA WAFUNGAJI KATIKA MECHI ZOTE ZA JANA 


● CSKA Moscow 2-2 Manchester City

Sergio Agüero (29')
James Milner (38')
Seydou Doumbia (64')
Bebars Natcho (86') (Pen)

● AS Roma 1-7 Bayern Munich

Arjen Robben (8')
Mario Götze (23')
Robert Lewandowski (25')
Arjen Robben (30')
Thomas Müller (36') (Pen)
Gervinho (66')
Franck Ribéry (78')
Xherdan Shaqiri (80')

● Apoel Nicosia 0-1 Paris Saint-Germain

Edinson Cavani (87')

● Barcelona 3-1 Ajax Amsterdam

Neymar (7')
Lionel Messi (24')
Anwar El-Ghazi (88')
Sandro Ramírez (90')

● Chelsea 6-0 NK Maribor

Loïc Rémy (13')
Didier Drogba (23') (Pen)
John Terry (31')
Mitja Viler (54') (Own Goal)
Eden Hazard (77') (Pen)
Eden Hazard (90')

● Schalke 04 4-3 Sporting Lisbon

Nani (16')
Chinedu Obasi (34')
Klaas Jan Huntelaar (50')
Benedikt Höwedes (60')
Adrien Silva (64') (Pen)
Adrien Silva (78')

● BATE Borisov 0-7 Shakhtar Donetsk

Alex Teixeira (11')
Luiz Adriano (28') (Pen)
Douglas Costa (35')
Luiz Adriano (37')
Luiz Adriano (40')
Luiz Adriano (44')
Luiz Adriano (82') (Pen)

●FC Porto 2-1 Athletic Bilbao

Héctor Herrera (45')
Guillermo (58')
Ricardo Quaresma (75')

××××××××××××××××××××××××××××××××××××××××××××××××××××××××××××××

No comments

Powered by Blogger.