UNITED YALALA NYUMBANI YACHAPWA 2-1 NA CITY

Vinara wa Ligi kuu nchini Uingereza Manchester City imewashushia kipigo cha ba 2-1 mahasimu wao Manchester United katika uwanja wao wa nyumbani wa Old Trafford 
Manchester City walipata goli lake la kwanza kupitia David Silva dakika ya 43 kabla ya Marcus Rashford kusawazisha dakika ya 45 na Nicolás Otamendi kupachika la pili na la ushindi dakika ya 54.
City ipo kileleni na pointi 46 ikifuatiwa na United yenye alama 35.
Kocha wa Manchester City Pep Guardiola ameisifu timu yake kwa kucheza vizuri na kufata maelezo yake


No comments

Powered by Blogger.