ZANZIBAR HEROES KUFUNGUA CHALLENJI LEO YAANZA NA BURUNDI
Kikosi cha timu ya Taifa ya Zanzibar ‘Zanzibar heroes’ tayari kipo Addis Ababa
nchini Ethiopia kwa mashindano ya Kombe
la Chalenji yatakayoanza kutimua vumbi leo Jumamosi nchini humo.
Wachezaji waliosafiri na timu hiyo ni
Makipa: Mwadini Ali (Azam), Mohamed Abraham (JKU).
Mabeki wa pembeni: Mwinyi Haji (Yanga), Nassor Masoud (Stand United), Adaymu Saleh (Coastal Union) na Ismail Khamis (JKU).
Walinzi wa kati: Nadir Harub (Yanga), Shafii Hassan (Zimamoto), Said Mussa (Mafunzo), Issa Haidary (JKU).
Viungo: Awadhi Juma (Simba), Mudathir Yahya (Azam), Saidi Makapu (Yanga), Mohamed Abdulirahmani Mbambi (Mafunzo), Hamis Mcha (Azam), Suleiman Kassim (Stand United) na Omari Juma (Hard Rock).
Makipa: Mwadini Ali (Azam), Mohamed Abraham (JKU).
Mabeki wa pembeni: Mwinyi Haji (Yanga), Nassor Masoud (Stand United), Adaymu Saleh (Coastal Union) na Ismail Khamis (JKU).
Walinzi wa kati: Nadir Harub (Yanga), Shafii Hassan (Zimamoto), Said Mussa (Mafunzo), Issa Haidary (JKU).
Viungo: Awadhi Juma (Simba), Mudathir Yahya (Azam), Saidi Makapu (Yanga), Mohamed Abdulirahmani Mbambi (Mafunzo), Hamis Mcha (Azam), Suleiman Kassim (Stand United) na Omari Juma (Hard Rock).
Zanzibar heroes itacheza mchezo wake wa kwanza leo dhidi ya
Burundi
No comments